Home > Terms > Swahili (SW) > Marekebisho ya Vita vya wenyewe kwa wenyewe

Marekebisho ya Vita vya wenyewe kwa wenyewe

Marekebisho ya katiba yaliyopitishwa baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ili kuwaachilia huru Waafrika Wamarekani waliokuwa chini ya utumwa, kuwapa uraia na kuwahakikishia haki zao kama wananchi. Badiliko la kumi na tatu lilipitishwa mwaka 1865; badiliko la kumi na nne lilifanyika mwaka wa 1868; na badiliko la kumi na tano lilifanyika mwaka 1870.

0
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

ogongo3
  • 0

    Terms

  • 0

    Blossaries

  • 3

    Followers

Industry/Domain: People Category: Sportspeople

Floyd Mayweather (almasi, Watu, wanaspoti)

Kuzaliwa Floyd Sinclair juu ya Februari 24, 1977, Marekani mtaalamu wa ndondi. Yeye ni tano-mgawanyiko bingwa wa dunia, ambapo alishinda vyeo dunia ...